Pentagon imethibitisha kuwa kiongozi
wa kundi la kigaidi lenye itikadi kali la dola la kiislam Abu Mohamed
al-Adnani ameuawa katika shambulizi la anga huko kaskazini mwa Syria
mwezi uliopita.
Taarifa ya msemaji wake imeeleza kuwa ndege ya Marekani ilifanikiwa kumlenga na kumuua.Kundi la dola la kiislam lilithibitisha kuwa amekufa, lakini Marekani na Urusi wote wanadai kuhusika na shambulio hilo.
![]() |
Abu Mohamed al-Adnan |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni