Kurasa

Jumanne, 13 Septemba 2016

Kiongozi wa IS auawa kwa shambulizi za ndege za angani Syria

Pentagon imethibitisha kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi lenye itikadi kali la dola la kiislam Abu Mohamed al-Adnani ameuawa katika shambulizi la anga huko kaskazini mwa Syria mwezi uliopita.
Taarifa ya msemaji wake imeeleza kuwa ndege ya Marekani ilifanikiwa kumlenga na kumuua.
Kundi la dola la kiislam lilithibitisha kuwa amekufa, lakini Marekani na Urusi wote wanadai kuhusika na shambulio hilo.
Abu Mohamed al-Adnan
Abu Mohamed al-Adnan

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni