Kurasa

Jumapili, 11 Septemba 2016

Habari Zaidi Kuhusu Tetemeko la Ardhi Tanzania. watu 11n Wasadikiwa kufa

Nyumba zilizoporomoshwa na tetemeko la ardhi nchini TanzaniaNyumba zilizoporomoshwa na tetemeko la ardhi nchini Tanzania


Maafisa wa Serikali ya Tanzania wanasema kuwa watu 11 wamefariki na wengine karibu 200 kujeruhiwa katika tetemeko la ardhi lililokumba Kaskazini Magharibi mwa Taifa hilo.
Wafanyakazi wa kutoa huduma za misaada wanasema watu kadhaa wamekwama katika vifusi kufuatia kuporomoka kwa mijengo kadhaa.

 Tetemeko la ardhi TanzaniaTetemeko la ardhi Tanzania

Inadaiwa kuwa hospitali nyingi katika eneo hilo zimejaa majeruhi.
Mitetemeko hiyo ilihisiwa katika mataifa jirani ya Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi.
Inadaiwa kuwa hospitali nyingi katika eneo hilo zimejaa majeruhi.
Mitetemeko hiyo ilihisiwa katika mataifa jirani ya Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi.
Chanzo BBCswahili.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni