Kurasa

Jumapili, 11 Septemba 2016

Shambulio la kigaidi latibuliwa Mombasa

Shambulio la kigaidi latibuliwa mjini MombasaShambulio la kigaidi latibuliwa mjini Mombasa 
Wanawake watano waliovalia mabuibui na walioaminika kuvaa mikanda ya kujilipua walivamia kituo kimoja cha polisi mjini Mombasa katika shambulio la kigaidi.
Maafisa wa polisi nchini Mombasa wanasema kuwa walitibua jaribio hilo na kufanikiwa kuwaua wanawake watatu huku wawili wakikamatwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni