
Polisi nchini Kenya wamewatambua watu wawili miongoni mwa washambulizi watatu wa kike waliouwawa,baada ya mpango wao wa kufanya mashambulizi dhidi ya kituo kikuu cha polisi mjini Mombasa kutibuliwa
Wanawake hao wawili ambao ni raia wa Kenya ni Tasnim Farah na
Fatuma Omar. Wenzao watatu wanazuiliwa na polisi kusaidia katika
uchunguzi baada ya kufuatiliwa hadi eneo la kibokoni Mombasa.
Nilizungumza na mchambuzi wa maswala ya usalama nchini Kenya Mwenda
Mbijiwe na kwanza anaeleza hali jumla ya usalama Mombasa kufuatia
shambulizi hilo.
Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi:Jane Nyingi
Mhariri:Yusuf Saumu
Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi:Jane Nyingi
Mhariri:Yusuf Saumu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni