
WAWAKILISHI WA CCM WATAKA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR IWE YA CCM PEKEE ISISHIRIKISHE VYAMA VYENGINE VYA SIASA.
BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CCM, wameibua hoja nzito wakitaka Sheria ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ifanyiwe mabadiliko na kuwaondoa wajumbe wa tume wanaotokana na vyama vya siasa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Hoja hiyo imesababisha marekebisho ya 11 ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 yaliyokuwa yawasilishwe jana katika mkutano wa tatu waBaraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) kukwama na kutoa muda wa kujadili hoja zilizojitokeza.
Chanzo:Hababi Cuf
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni