Kurasa

Jumamosi, 24 Septemba 2016

TANGAZO LA USAILI WIZARA YA HABARI, UTALII, UTAMADUNI NA MICHEZO ZANZIBAR

Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi katika Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo kufika katika Wizara hiyo siku ya Jumanne ya tarehe 27 Septemba, 2016 Saa 2:00 asubuhi kwa ajili ya kufanyiwa Usaili. 
Vijana wenyewe ni hawa wafuatao:- 



NO JINA KAMILI 
1 ALI YUSSUF ALI 
2 SULEIMAN ALI SULEIMAN 
3 KHAMISI RAMADHAN HAMADI 
4 HAJI MTUMWENI CHOUM 
5 SALUM RASHID SALUM 
6 SAID VUAI KHAMIS 
7 SHARIF MAULID MUHIDIN 
8 KHAMIS JUMA JUMA 
9 ALI VUAI MJAKA 
10 RAMADHAN JAFFAR ALMAS 
11 SALUM KHAMIS MACHANO 
12 HAJI MOHAMED NAIMU 
13 MUHAMMAD SHAABAN MTWANA 
14 DANIAL SULEIMAN HAJI 
15 MAKAME OMAR MAKAME 
16 YUSSUF SULEIMAN NYASA 
17 ALI ABDALLA ABDALLA 
18 ABDULHAKIM AMOUR KHAMIS 
19 MZEE KHATIB SIMAI 
20 MOHAMED KHAMIS RAJAB 
21 SEIF KHAMIS AHMADA 
22 MBARAKA TALIB MAALIM 
23 ZUBEIR MARKUTA RAMADHAN 
24 FOUM SAID ABDALLA 
25 ALY SAID OMAR 

Wasailiwa wote wanatakiwa kuchukua vyeti vyao halisi vya kumalizia masomo, Cheti cha kuzaliwa, Lesseni ya Udereva pamoja na kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi. 
Chanzo.www.lps.go.tz

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni