Kurasa

Jumapili, 11 Septemba 2016

Jean Ping, ataka kura zihesabiwe tena nchini Gabon

 Kiongozi wa upinzani, Jean Ping, ataka kura zihesabiwe tena nchini Gabon. Umoja wa Mataifa wamlaumu Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, kwa machafuko ya mwezi Julai. Na, tarehe 11 Septemba inatimia miaka 15 tokea mashambulizi ya Marekani yaliyofanywa na kundi la kigaidi la al-Qaeda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni