![]() | ||||
Kihonda Morogoro: Kijana Mmoja ambaye hakufahamika jina lake na anapotokea amesababisha ajali baada ya kuwakimbia Polisi walipo msimamisha ili wamkague ndipo kijana huyo aliamua kuongeza mwendo wa Pikipiki na kuanza kupita mitaani kwa kasi huku polisi wakimfukuza ndipo alipo ingia kwenye kijiwe cha Bodaboda na kugonga Bodaboda 3 na kusababisha ajali moja ya Gari ndogo kuingia Nyuma ya Fuso.. Hatahivyo mtuhumiwa alifanikiwa kukimbia pasipo; | ![]() |
Tanzania Entertainment News,Politics News ,Celebrity religion and Live Updates
Jumapili, 11 Septemba 2016
AJALI: Akimbia polisi alivaa asababisha ajali
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni